Home › Ringtones › Love You Die (feat. Diamond Platnumz) - Patoranking

Love You Die (feat. Diamond Platnumz) - Patoranking

free ringtone for iPhone & Android phones

@Kai
25,115
30 Sec
Top 100 Black Desert Ringtones
Top 100 Battlefield 5 Ringtones
Top 100 Toca Boca Ringtones

Similar ringtones:

30
@Luca
10,804
When I look at you I see the air every very flavoury I see the sun girl, how you shine on me Nikomzima kwa sababu ya wewe tu And when you talk to me I hear the angels I can hear them sing I have the sound of our eternity I am blessed to be your man this much is true And all that I am I will happily Give to you baby If you take me, ooh girl See forever something that I just can't do No, No without you I want to marry you (ooh lalala ooh la) I want to marry you (ooh lalala ooh la) I want to marry you (ooh lalala ooh la) Aaah twende kwa Mama Papaa yoo oh Oooh I want to marry you (ooh lalala ooh la) I want to marry you (ooh lalala ooh la) I want to marry you (ooh lalala ooh la) Aaah twende kwa baba na mama yangu Oooh baby hadithi hadithi utamu kolea Ooh baby leo najihisi hamu ya kuongea Ooh baby yalio ndani ya mtima Nikueleze how I feel Mhh venye kupenda maradhi ya moyo ntampenda nani Sio mfupa mwenzio kibogoyo Utanitesa honey Vile mate wanakumezea Kutwa wanakumendea Mi pressure kizunguzungu ooh Eeeh when you smile (ndo mi napendaga ndo mi napendaga) Eeeh when you smile (ndo mi napendaga ndo mi napendaga) When you smile (ndo mi napendaga ndo mi napendaga) When you smile baby (ndo mi napendaga) I want to marry you (ooh lalala ooh la) I want to marry you (ooh lalala ooh la) I want to marry you (ooh lalala ooh la) Aaah twende kwa Mama Papaa yoo oh Oooh I want to marry you (ooh lalala ooh la) I want to marry you (ooh lalala ooh la) I want to marry you (ooh lalala ooh la) Aaah twende kwa baba na mama yanguuu Oooh ooh Now and forever we will be together I want you only Holy matrimony Say you will be with me Vole atinati Say I do baby Sasa nataka nidekedeke eeeh Nidekedekee unidekeze mama Nidekedeke Eeeeh Nidekedeke nikiwa na wewe nidekedeke Nipe nilewe Nidekedeke Mhh Nidekedeke Ooooh Japo kidogo nidekedeke Eeeeh Nidekedeke Unikekeze mama nidekedeke Eeeeh nidekedeke Tukiwa chumbani nidekedeke Barabarani nikekedeke Eeeeeeeh
30
@Merle
3,501
Hello! Napo vipi sijui unanisikia? Hello! Nnamaneno natamani kukwambia Hello! Tafadhali usije nikatia Hello! Ona mpaka nasahau kusalimia Habari gani leo nmekumbuka sana Na mama yani twakuwazagaa Vipi nyumbani hali ya mumeo na wana Na aunty Shani wa chimwagaa ah ah Kile kidonda changu cha roho bado kinatia tabu Nnajitaidi kukaza roho ila nadhidisha adhabu Tena silali oh nasubiri maajabu Maumivu yangu ayajapata dawa... I miss you nakukumbuka iye iyeh I miss you nakukumbuka iye iyeh... I miss you nakukumbuka iye iyeh I miss you nakukumbuka iye iyeh Na roho yangu mama (bingili bingili) Ah nikikuwaza (bingili bingili) Nikisinzia (bingili bingili bayoyo) Oh nikilala (bingili bingili) Inama inuka uwoh (bingili bingili) Yani sina raha (bingili bingili bayoyo) Ah iyeeeh ah iyeeeh Tatizo kwetu sijui nini kosa langu Mpaka nikawa adui ghafla ukanichukiaga Nawaza ila siambui ama shida zangu Simba nikawa chui mi roho inaniumaga Yawezekana ahadi zangu zisizotimia Ndio maana haukutaka kusubiria Nasema nyama mwisho wa siku naleta bamia Chai mchana usiku dona kurumaghia Nilitamani sana ila nguvu yangu palinishia Ningalikua na uwezo ningekutimizia Mingali unafuraha haya maumivu ntayavumilia Ila japo nambie ivi unanifikiria maana eh eeh Nakumkumbuka iyeeh iyeh nakumkumbuka sana Ooh... I miss you nakukumbuka iye iyeh I miss you nakukumbuka iye iyeh I miss you nakukumbuka iye iyeh Na roho yangu mama (bingili bingili) Ah nikikuwaza (bingili bingili) Nikisinzia (bingili bingili bayoyo) Oh nikilala (bingili bingili) Inama inuka uwoh (bingili bingili) Yani sina raha (bingili bingili bayoyo) Ata nikila (bingili bingili) Nikikuwaza (bingili bingili) Nikilala heeh (bingili bingili bayoyo) Ona roho mama (bingili bingili) Ah nikikuwaza (bingili bingili) Nikisinzia (bingili bingili bayoyo) Heeeh! Roho yangu mama (bingili bingili) Heh heh heeh! (Bingili bingili) Heh heh heeh! (Bingili bingili bayoyo) Oooh roho yangu mama (bingili bingili) Inama inuka uwoh (bingili bingili) Chibu sina raha (bingili bingili bayoyo) Ah ata nikila!
15
@Hilma
828
(Abbah), (Ayolizer) Ishafika saba sasatunakungojea Imebaki miezi miwili tu hebu siku sogea Tuna shauku na bashasha ya kukupokea Sio mimi na mama yako tu na bibi anakuombea Mmmh! Imani yangu inanituma Unanisikia baba yoo (Baba yooyoo) Na furaha yangu dongo kumung'unya Anapobugia mama yoo (mama yoo yoo) Mmmm!, dalili wazi wazi Kwa muda usha tawakal Natamani useme zawadi Ila acha ninunue vigari Oooh kuna shangazi Kibiti kwa mzee kikali Ukiota meno ataleta viazi Ule mihogo uwe ngangari (Ule mihogo uwe ngangari) Kwanza nitakupa jina gani Talala talala lala talala Kwanza karibu duniani baba Talala talala lala talala Kwetu furaha isiyo kifani Talala talala lala talala Ila kuna mengi duniani baba Talala talala lala talala Mmmh! kwa furaha niliyonayo Ningechinja ng'ombe kwa tambiko Ila baba yako uwezo sina Pokea uji kwa kijiko Pokea mwanangu (Ai yo yo) Tena awape na habari Waropokaji wapambe We ni wangu wa halali Wasije zani vya Nyange Dunia ni mafuriko mvua kwote Wanadamu mioyo ya matope Ukitukanwa mwiko usiogope Jikaze mwana wa Dangote Ooh wasimuone Kimasomaso wasimuone Wenye jicho la chuki wasimuone mwanangu Kimasomaso wasimuone Ooh, wasimuone Kimasomaso wasimuone Wenye roho mbaya wasimuone Kimasomaso wasimuone Sa ringisha tumbo ringa, sa baby ringa Waonyeshe ringa, wadolishie ringa Sa ringisha tumbo ringa, oh baby ringa Wao si wanazitoa, asa wadolishie ringa Kwanza nitakupa jina gani Talala talala lala talala Kwanza karibu duniani baba Talala talala lala talala Kwetu furaha isiyo kifani Talala talala lala talala Ila kuna mengi duniani baba Talala talala lala talala Ndo namnyema mwanangu (Aiyoyo kwa baby shower) Ooh rafiki kwa ndugu zangu (Aiyoyo kwa baby shower) Furaha na uzazi wangu (Aiyoyo kwa baby shower) Naringa ringa na mwanangu (Aiyoyo kwa baby shower) Aiyoyo kwa baby shower Aiyoyo kwa baby shower Aiyoyo kwa baby shower Aiyoyo kwa baby shower
18
@Sally
10,563
(Ayo, Laizer) Hey, kako fine Kila nikikaweka kwenye line Bilabila Shuwaini (shuwaini) Kwake nimelewa kama wine Tilalila Ye sisimizi nami gegedu tuna gegeduana (gegedu) Nilivyo sina jinsi Tajiri wa mbegu Namuhonga na mwana Baba Mndenge mama Mzaramo Uno lake la kurithi (aah-eh) Kafunga tenge mwali chakalamu shetani mwana ibilisi Jipuu (jipu) Uchungu (uchungu) Mwana nyuma umejaza kishindundu Kwenye zipu (zipu) Kuna kirungu (kirungu) Usikamate utawaita wazungu Eeh-hey Babu mkuna nazi (mkuna nazi) achutama kishinani Na msuli wake uko wazi (uko wazi) Mambo yote hadharani Oh, go-goal go-goal Mtoto anadaka Goli kipa runya mira (wabeja) Tena akikata anaitikisa sababu (brr, okay) Baby, aje unachezaga? (Baikoko) Unavyo baby (Baikoko) Unavyoinyonga (Baikoko) Eeh, waonyeshe (Baikoko) Baby, aje unachezaga? (Baikoko) Unavyo baby (Baikoko) Unavyoinyonga (Baikoko) Eeh, waonyeshe (Baikoko) Asa komesha dengua! Dengua Baby dengua! Dengua Ringa Dengua! Dengua Deka Dengua! Dengua wakuone Kanivua ndala miguu Anataka nipite peku (peku, peku) Kunduchi juu anifikishe kwetu (kwetu, kwetu) Embu tamu ladha ya kitumbua Rojo ya embe Kibada! Kibada Hodari kunengua Miuno ya ushubwada (ushubwada) Nyuma kalisasambua Kafungasha midabwada (bwada) Anavyo tafuna mua Ka kibogoyo dada! (Woo!) Katoto kamelainika kwala (kwala) Kukapa ndizi banana (nana) Nakapeleka kwa mama (mama) Mama, Dangote (woo!) Kama kuku twakimbizana (zana) Kana ibuka kana zama (zama) Kamwili kana balaa na laana (laana) laana, kazote Eboh! Mtoto anadaka Goli kipa ronya mira (wabeja) Tena akikata anaitikisa sababu (brr, okay) Baby, aje unachezaga? (Baikoko) Unavyo baby (Baikoko) Unavyoinyonga (Baikoko) Eeh, waonyeshe (Baikoko) Baby, aje unachezaga? (Baikoko) Unavyo baby (Baikoko) Unavyoinyonga (Baikoko) Eeh, waonyeshe (Baikoko) Asa komesha dengua! Dengua Baby dengua! Dengua Ringa Dengua! Dengua Deka Dengua! Dengua wakuone Kama anaifata Anaima anainuka mwali anaifuata Kwa kujishebedua Anainama anainuka mwali anaisusa Kama hataki mwana Anaima anainuka mwali anaifuata Kwa madoidoi Anaima anainuka mwali anaifuata (Brra) (Kwa mix, Laizer) (Wasafi)
MORE...[+]
Top 100 Minecraft Ringtones
Top 100 Genshin Impact Ringtones
Top 100 PUBG Ringtones
Top 100 Call of Duty Ringtones
Top 100 Attack on Titan Ringtones

More ringtones from Patoranking:

MORE...[+]

Set Love You Die (feat. Diamond Platnumz) ringtone on an Android Phone:

1. Select Download Ringtone button above.
2. Go to Settings app.
3. Select Sounds & Vibration.
4. Select Phone ringtone.
5. Select Ringtone from Internal Storage.
6. Click the Apply button.
So after only a few basic steps, you have successfully done the default ringtone on your phone running Android operating system with the pop songs you want.



Set Love You Die (feat. Diamond Platnumz) ringtone for your iPhone:

1. Select Download M4R for iPhone button above and save to your PC or Mac.
2. Connect your iPhone to your PC or Mac via its charging cable.
3. Launch iTunes and drag the .m4r to the Tones folder (Under "On My Device").
Hopefully, the guides for configuring ringtones for iPhones and Android phones will make it simple for you to replace the uninteresting default sounds on your phone with your own personal favorites.



Browse 5,000,000+ free ringtones by categories:

Thanks for letting us know
Your feedback is important in helping us keep the 1Ringtone community safe.
Close

X

#1 Ringtone App - top ringtones for free!

logo
Login with Google Login with Facebook

By joining, you agree to Terms of Service & Privacy Policy.

Upload a ringtone

You can upload MP3, WAV, M4A, OGG, M4R, ACC format files.

By selecting 'Upload' you are representing that this item is not obscene and does not otherwise violate Terms of Service, and that you own all copyrights to this item or have express permission from the copyright owner(s) to upload it.

Before uploading, please read our Privacy.